«

»

HAIYA YA IBN ABI DAUD

HAIYA YA IBN ABI DAUD

تمسك بحبلِ الله وأتبعِ الهُدى

ولا تكُ بدعيا لعلك تُفلحُ

Shikamana na kamba ya Allah na fuata uongofu na wala usiwe mtu wa bidaa(mzushi bila shaka utafaulu

ودنْ بكتابِ الله والسننِ التي

أتت عنْ رسول الله تنجو وتربحُ

Na fanya dini kwa kitabu cha Allah na sunna ambazo zimekuja kutoka kwa mtume*** utaokoka na utapa

faida

وقل غيرُ مخلوقٍ كلام مليكنا

بذلك دان الأتقياء , وأفصحوا

Na sema sikiumbe maneno ya mmikili wetu kwa itikadi hiyo walifanya dini wema na wakaweka wazi

ولا تكُ في القرآن بالوقف قائلاً

كــما قــال أتْبـاعٌ لجمٍ وأسـجحُوا

Wala usiwe katika qur,an kwa kusita ni mwenye kusema kama walivyo sema wafuasi wa jahami na

Nyoyo zao zikaridhia hii itikadi mbaya.

ولا تقل القرآن حلْقٌ قرأْتُهُ

فإن كلام اللهِ باللفظ يُوضحُ

Na wala usiseme kuwa qur,an ni kiumbe nimekisoma kwa haika maneno ya Allah kwa lafdhi

yanawekwa wazi

وقل يتجلى الله للخلقِ جهرةً

كما البدر لا يخفى وربك أوضحُ

Na sema atajidhihirisha Allah kwa viumbe kwa uwazi kama mwezi mpevu haufichikana na mola wako

Yuko wazi mno

وليس بمولدٍ وليس بوالدٍ

وليس له شِبْهٌ تعالى المُسبحُ

Na si mzaliwa na wala si mzazi na hana mfano ametukuka mwenye kutakaswa

وقد يُنكِر الجهمي هذا عندنا

بمصداقِ ما قلنا حديثٌ مصرحُ

Na kwa hakika anapinga hili jahami na sisi tunayo kwa kusadikisha yale tuliyo yasema hadithi iliyo wazi

رواه جريرٌ عم مقالِ مُحمدٍ

فقلُ مِثل ما قد قال ذاك تنْجحُ

Ameipokea jariri kutoka katika maneno ya muhamad basi sema mfano wa kile alicho kisema katika

hilo utafaulu

وقد ينكرُ الجهمي أيضاً يمينهُ

وكِلتا يديه بالفواضلِ تنْفحُ

Na kwa hakika anapinga jahami pia mkono wake wa kulina na mikono yake yote miwili kwa kipao

inatoa

وقل ينزلُ الجبارُ في كلِّ ليلةٍ

بلا كيفَ جلَّ الواحدُ المُتمَدحُ

Na sema anateremka aljabar katika kila usiku bila namna ametukuka mmoja mwenye kusifiwa

إلى طبقِ الدنيا يمُنُّ بفضلهِ

فتفرجُ أبواب السماءِ وتُفتحُ

Mpaka katika tabaka ya dunia anatoa kwa fadhila zake na inachwa wazi milango ya mbingu na

Inafunguliwa

يقولُ أَلا مُستغفرٌ يَلقَ غافراً

ومُستمنحٌ خيراً ورِزْقاً فُمنحُ

Anasema hivi kuna mwenye kutaka msamaha akutane na mwenye kusamehe na mwenye kutaka kher

Na riziq ili apewe.

روى ذاك قومٌ لا يردُّ حديثُهم

ألا خابَ قومٌ كذبوهم وقُبِّحوا

Wamelipokea hilo watu ambao hairudishi hadithi yao . hafamuni mwepata khasara watu ambao

Wamewakadhibisha na wamelaaniwa

وقل: إنَّ خير النَّاسِ بعد محمَّدٍ

وزيراهُ قدَماً ثم عثمانُ الارجَحُ

Na sema hakika mubora wa watu baada ya muhamadi ni mawazili wake toka mwazo kisha othumani

Kwa kuuli yenye nguvu.

ورابعهُمْ خيرُ البريَّة بعدهُم

عليٌّ حليفُ الخيرِ بالخيرِ مُنْجِحُ

Na wanine wao ni mbora wa viumbe baada yao alliy mwenye kulazimiana na kher kwa kher ni mwenye

Kufaulu

وإنهم للرهط لا ريب فيهم

على نُجبِ الفردوسِ بالنُّور تَسرحُ

Na hakika wao ni kundi ambalo hakuna shaka kwao wao juu ya mito ya firdaus kwa nuru roho zao ni

zenye Kwenda na kurudi

سعيدٌ وسعدٌ وابن عوفٍ وطلحةُ

وعامرُ فهرٍ والزبيرُ الممدَّح

Saidi na saad na ibn aufu na twaliha , na amiri fihiry na zuber mwenye kusifiwa

وقل خير قولٍ في الصحابة كلِّهم

ولا تك طعَّاناً تعيبُ وتجرحُ

Na sema kauli nzuri kwa Maswahaba wote na wala usiwe mwingi wa kutwani unatia aibu na unatia

Majeraha

فقد نطقَ الوحيُ المبينث بفضلِهم

وفي الفتح آيٌ للصَّحابةِ تمدحُ

Na kwahakika umetamka wahayi ulio wazi kwa fadhila zao na katika surat alfatih kuna aya ambazo

zinawasifu maswahaba.

وبالقدرِ المقدورِ أيقِن فإنَّه

دعامةُ عقدِ الدِّين ، والدِّينُ أفيحُ

Na kwa kadar ya makadilio kuwa na yakini hakika hiyo kadari ni nguzo ya dini na dini ni pana

ولا تُنكِرَنْ جهلاً نكيراً ومُنكراً

ولا الحوْضَ والِميزانَ انك تُنصحُ

Na wala usipinge kwa ujinga Nakiri na Munkar na wala hodhi ,hakika wewe unanasihiwa

وقُلْ يُخرجُ اللهُ الْعظيمُ بِفَضلِهِ

من النار أجسادا وفي الفحم تطرح

Na sema anatoa allah mkubwa kwa fadhila zake motoni miili ambayo inatokana na mkaa kisha

Itatupwa .

عَلى النهرِ في الفِرْدوسِ تَحْيَا بِمَائِهِ

كَحِبِّ حَمِيلِ السَّيْلِ إذْ جَاءَ يَطْفَحُ

Juu ya mto katika firdaus itapata uhai kwa maji yake kama vile mbegu iliyobebwa na mafuriko pindi

Yalipo kuja yanaruka

وإن رَسُولَ اللهِ للخَلْقِ شَافِعٌ

وقُلْ في عَذابِ القَبْرِ حَقّ موَُضحُ

Na hakika ya mtume wa Allah kwa viumbe ni mwenye kuombea , na sema katika adhabu ya kaburi

Na haki iliyo wazi

ولاَ تُكْفِرنْ أَهلَ الصلاةِ وإِنْ عَصَوْا

فَكُلهُمُ يَعْصـِي وذُو العَرشِ يَصفَحُ

Na wala usiwa kufurishe watu wa swala hata kama wakiasi, kwani kila mwanadamu anafanya maasi

Na mwenye arshi anasamehe

ولَا تَعتقِدْ رأيَ الْخَوَارجِ إِنهُ

مقَالٌ لَمنْ يَهواهُ يُردي ويَفْضَحُ

Na wala usiitakidi rai ya khawariji kwani hayo n,i maneno ya mwenye kuyaitakidi yanamuangamiza na

Yanamfedhehesha.

ولا تكُ مُرْجيًّا لَعُوبا بدينهِ

ألاَ إِنمَا المُرْجِي بِالدينِ يَمْزحُ

Na wala usiwe murjia mwenye kucheza na dini yake, fahamuni hakika sivinginevyo murjia dini

Anaifanyia mzaha

وقلْ : إنمَا الإِيمانُ : قولٌ ونِيةٌ

وفعلٌ عَلَى قولِ النبِي مُصَرحُ

Na sema hakika sivinginevyo imani : ni kauli na niya na kitendo juu ya kauli ya nabiy iliyo wazi

ويَنْقُصُ طوراً بالمَعَاصِي وتَارةً

بِطَاعَتِهِ يَمْنَي وفي الوَزْنِ يَرْجَحُ

Na inapungua wakati mwingene kwa maasi na wakati mwingine, kwa kumtii Allah inazidi nakatika mizani

Inakuwa nzito

ودعْ عَنْكَ آراءَ الرجالِ وقَوْلَهُمْ

فقولُ رسولِ اللهِ أزكَى وأَشْرحُ

Na acha wewe rai za watu na kauli zao, kwani kauli ya mtume wa Allah ni bora na ni kunjufu mno

ولا تَكُ مِن قوْمٍ تلهوْا بدينِهِمْ

فَتَطْعَنَ في أهلِ الحَديثِ وتقدحُ

Na wala usiwe miongoni mwa watu ambao wamechezea dini yao ukawa anawasema vibaya watu wa hadithi na unawatia dosari

أضف تعليقاً

لن يتم نشر عنوان بريدك الإلكتروني. الحقول الإلزامية مشار إليها بـ *

يمكنك استخدام هذه HTML الدلالات والميزات: